MABAO YA CHIRWA NA GADIEL YALIYO WAPA YANGA USHINDI DHIDI YA AZAM FC
Magoli yalio ipa Yanga ushindi dhidi ya Azam Fc, mabao ya Yanga Yalifungwa na CHIRWA dakika ya 30 ya mchezo NA GADIEL dakika ya 45.
Bao la Azam Fc lilifungwa mapema dakika ya 4 ya mchezo na CHILUNDA
Matokeo ya mechi nyingine za ligi kuu leo ni
Mbeya City 0-0 Mtibwa sugar
Mwadui Fc 2-2 Njombe mji
Kagera sugar 0-0 Lipuli Fc
No comments