Cr7 NA LIONEL MESSI NANI ANA TUZO NYINGI ZAIDI?





Cristiano Ronaldo na Lioneil Messi ndio wanasoka ambao kwa sasa ndio bora duniani, hilo halina ubishi. Kama kuna mchezaji mwingine bora ni bora baada ya wanasoka hao wawili.
Kwa sasa katika dunia ya sasa hakuna mwanasoka ambaye siyo tu kugusa bali hakuna hata anayekaribia level za tuzo za wanasoka hawa wawili kwani miaka 
Cristiano Ronaldo amemburuza Lioneil Messi katika jumla ya tuzo binafsi ambapo kabati la Ronaldo limebeba tuzo 287 huku kabati la Lioneil Messi hadi sasa likiwa limebeba jumla ya tuzo 157.
Lakini Lioneil Messi amemburuza Ronaldo katika tuzo ya Ballon D’Or ambalo Muargentina huyo ana tano huku Cr7 hadi sasa akiwa na nne lakini baadae mwaka huu anatarajia kubeba tuzo ya Ballon D’Or ya tano.
Lioneil Messi pia amempoteza vibaya Cristiano Ronaldo katika ligi ya La Liga ambapo Messi amechukua tuzo ya mchezaji bora wa La Liga mara sita ambapo Cristiano Ronaldo yeye amechukua mara moja tu.
Pamoja na kwamba majina ya hawa wote yamejitokeza katika kikosi cha FIFA mara 11 lakini kinachombeba Cr7 ni ushiriki wake katika ligi kubwa mbili barani Ulaya La Liga na Epl huku kote akibeba makombe.
Kwa ujumla katika tuzo kubwa ambazo zinafahamika dunia nzima Cristiano Ronaldo amezibeba tuzo 157 akiwa amemzidi tuzo 27 Lioneil Messi ambaye ana tuzo 130.

No comments

Theme images by hdoddema. Powered by Blogger.