ZIJUE DALILI NA VISABISHI VYA UGONJWA WA PUMU



Dalili za Pumu
  • Kupata shida wakati wa kupumua
  • Sauti ya kukoroma wakati unapumua
  • Kikohozi
  • Msongamano kifuani
  • Kujisikia umechoka wakati ukifanya kazi yoyote ya nguvu
  • Homa na vikohozi vya mara kwa mara
  • Kukosa utulivu katika usingizi


Vitu vinachosababisha au kuamsha Pumu

  • Tumbaku/sigara
  • Sabubu za kimazingira kama uharibifu wa hewa sababu ya viwanda
  • Uzito uliozidi
  • Mfadhaiko/Stress, sononeko, na huzuni
  • Kurithi
  • Maambukizi mapafuni wakati wa utotoni
  • Kuzaliwa mapema/njiti
  • Baadhi ya vyakula kama samaki, soya, mayai, korosho nk
  • Mazoezi
  • Kiungulia
  • Aleji 

No comments

Theme images by hdoddema. Powered by Blogger.