MAN U, YAUNGANA NA TIMU KAMA CHELSEA, BARCELONA 16 BORA, HUKU MESSI AWEKA RECORD UCL

CSKA Moscow walitangulia kipindi cha kwanza kabla ya Lukaku na Morata kuipeleka United katika hatua ijayo ya 16 bora kwa ushindi wa mabao 2 kwa 1, matokeo ambayo yameivusha United na FC Basel katika hatua inayofuata.

Bayern Munich waliichapa PSG mabao 3 kwa 1 na sasa Bayern wanakuwa timu ya tatu kufikisha jumla ya mabao 250 katika Champions League wakiungana na timu za Barcelona na Real Madrid.

Lioneil Messi alikuwepo uwanjani wakati wakiiua Sporting bao 2 kwa nunge na sasa baada ya mchezo huo Lioneil Messi anakua Muamerika Kusini wa kwanza kucheza mechi 121 CL tangu dunia ianze, Juventus waliiua Olympiacos bao 1 kwa nunge.

Ndoto za Atletico Madrid kufanya vizuri Champions League zimefutika baada ya kutoka suluhu ya bao moja kwa moja na Chelsea huku AS Roma wakiifunga FC Qarabag bao 1 kwa nunge.

No comments

Theme images by hdoddema. Powered by Blogger.