SIMBA DAY 2017
Baada ya kufanya usajili wa hatari Mabingwa wa Kombe la Shirikisho la Azam, Wekundu wa Msimbazi Simba SC, leo katika Uwanja wa Taifa kutambulisha wachezaji wake wapya pamoja na kutambulisha uzi wao mpya watakao utumia kwa msimu wa 2017-2018
Utambulisho huo utafanyika kwa Simba kupimana ubavu na Mabingwa wa Azam Rwanda Premier League (ARPL) Rayon Sports.
Shughuli nzima itakuwa Live Azam Sports HD, kesho saa 10:00 Jioni
No comments