ANGALIA VIDEO INAYO ELEZEA TCU KUFANYA MABALIKO YA KUOMBA VYUO NA UTARATIBU ULIOPO 2017/18
Sasa leo 20, 2017 Kaimu Mtendaji Mkuu wa TCU Prof. Eleuther Mwageni amekutana na Waandishi wa Habari kutekeleza agizo hilo la Rais ambapo amesema wanaotarajia kuomba kujiunga na Elimu ya Juu kwa mwaka wa masomo 2017/18 wanatakiwa kutuma maombi yao moja kwa moja kwenye Chuo/Vyuo husika na siyo TCU kama awali.
No comments